Tunapatikana kariakoo mtaa wa Narung’ombe na Tandika Kwenye Stand ya Daladala za kwenda Gongo la mboto……
TOA MAONI YAKO,USHAURI
MAPENDEKEZO HAPO KATIKA BOX LA COMMENTS
LIKE PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO KULIA (Kama unatumia Computer) AU GONGA LIKE HAPO CHINI (Kwa unaetumia simu) ILI TWENDE SAWA
POSTED BY: MONDE MARTINS
Whatsap|Call +255 654 700-661
mishono yenu mizuri
LikeLike
Mishono ni mizuri sana hongereni sana
LikeLike
Tanzania
LikeLike
NIMEWAKUBALI, ONGEZENI UBUNIFU KWA MAVAZI YA KIUTU UZIMA
LikeLike
Mko byeeee kwa kweli bomba
LikeLike
mpo vizuri
LikeLike
mimi ni muislamu nataka kuona mtindo mpya wa gauni la heshima nahitaji msaada wenu wakuu.
LikeLike
mitindo ya vitenge inapendeza sana.
LikeLike
Nimeipenda sana mishono yenu
LikeLike
mitindo bomba sana
LikeLike
mishono nimizuri .hongereni Kwa ubunifu kam MTU anaitaj anawez kutumuw nje yamkoa?
LikeLike
mpo vizur xn
LikeLike
kwa kweli mishono yenu ni mizuri sana
LikeLike
penda sana mishono yenu
LikeLike
anahitaji atumiwe
LikeLike
Mishono mazuri sana.
LikeLiked by 1 person
mitindo iko vizuri nimeipenda sana pia hongereni kwa ubunifu wenu
LikeLike
nimeipenda mishono yenu lakini mishono mingine mko uchi sana
LikeLike
Ahsante,tunaomba mboreshe zaidi
LikeLike
Nzuri
LikeLike
MNAFANYA VZUR SANA BIG UP
LikeLike
Nimeipe mishono yenu mpo vizur hongeren!
LikeLike
mishono yenu ni mizuri bt wengi wameshona nguo fupi sana
LikeLike
MPO VIZURI
LikeLike
me nilikuw naomb km kunauwezekano wa kupat aina hz za mishomo kupitia whatsup maan ap najarb kuzidownload znashindikan no yang ni 0719773737 km nitawez ku2miw huk ntashkur
LikeLike
mpo vzur
LikeLike
Nimepend fashion zenu mpo vizur sana.
LikeLike
TUMEFURAHISHWA NA MISHONO ILA TUNAOMBA NA YA MADERA NA SKETI
LikeLike
mishono yenu ni mizuri sana
LikeLike
nime penda mishono yenu mpovizuli sana mungu awaongezee maalifa tele kila siku
LikeLike
hongeren sana nimeipenda mishono yenu
LikeLike
jamani nimependa mitindo yenu….mko vizuri sana kubuni hongereni sana
LikeLike
mko vizuri hongereni
LikeLike
nimeipenda mitindo yenu kwani huwa napenda sana muvaa vitege hasa sketi na blauzi za heshima. nitawapataje sasa ili tuweze kukubaliana
LikeLike
we can discuss the business
LikeLike
du i can’nt believ this, kumbe vitenge vinaweza fanya mambo makubwa, from nw on’ siendi madukani kuchagua za kutundika, ni kushona kwa kwenda mbele, tanzania tunaweza keep it up
LikeLike
Nimependa hand bay zenu. Hasa desing huu wa mtu wa mwisho rangi ya orange. Je tunaweza kuipata huku wa mkoani kama mtu anahitaji
LikeLike
unaipata bila wasiwasi wowote ..nicheki kwa namba 0654700661
LikeLike
Mishono Hebu ni mizuri sana!! Ila muweke na mishono ya magauni ya wa mama wanene!!!
LikeLike
mitindo ni muhimu sana kwa wanawake
LikeLike
hoyooooooooooooooooo
LikeLike
Nimeipenda mishono ni mizuri ila mingi ni sketi sijaona magauni embu muweke magauni ya kimama yenye heshima
LikeLike
it’s great…. kp it up
LikeLike
mnitumie mishono
LikeLike
hongera kwa mishono mizuri nimeipenda,na cc mabinti wanene jaman 2naomba m2oneshe mishono yetu inayotufaa maana nimeona inayowafaa wembamba tu
LikeLiked by 1 person
NIMEPENDA SANA MITINDO MISHONO YA VITENGE MKO JUUUUUUUUU
LikeLike
na wish ningekuwa ur model na vigezo
LikeLike
Nitafute 0654700661
LikeLike
mko pande za wap jaman
LikeLiked by 1 person
Tumbo Kariakoo mtaa wa Narung’ombe,Pia tupo mbagala na Tandika
LikeLike
nimependa sana mitindo yenu ya vitengee
LikeLike
Ahsante.Karibu sana Happy
LikeLike
mishono na mitindo yenu nimeipenda sana big up sana!
LikeLiked by 1 person
Ok.ahsante …karibu sana Happy
LikeLike
Mitindo nimeipenda mizuri sana inaamasisha, bei zinaanzia ngapi?
LikeLike
Mishono yenu inaamasisha ,hivyo endeleeni kubuni mingine mipya,I love it.
LikeLiked by 1 person
Ok…karibu sana
LikeLike
Mishono na mitindo yenu ni mizuri sana na nimeipenda
LikeLike
Karibu sana Brother
LikeLike